Home » , » ABIRIA WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI WAKWAMA MIKUMI BAADA YA LORI KUWAKA MOTO

ABIRIA WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI WAKWAMA MIKUMI BAADA YA LORI KUWAKA MOTO

Written By mahamoud on Thursday, 20 November 2014 | 05:50

Abiria   wanaosafiri  kutoka  mikoa  ya nyanda za  juu  kusini  na  wale  wanaoelekea  mikoa  hiyo  zaidi ya 2000 wamekwama  baada ya mabasi yao  kushindwa  kupita  eneo la Mikumi kufuatia ajali ya lori  lililobeba rami  kuanguka na kuwaka mot.
                                      Hapa  baada ya  lori  hilo  kuvutwa  pembeni 
                 Hivi  ndivyo  lori  hilo  lilivyokuwa  likiendelea  kuwaka moto 
 Lori  lililokuwa  limebeba  rami  likiteketea kwa moto  eneo la hifadhi ya Mikumi  leo na kupelekea  abiria   kukwama  kuendelea na  safari
 Moto  ukiendelea  kuwaka barabarani Picha  zote  I.Godwin na Joys Njoliga. 
wa wanahabari Tz na matukiodaimasiasakali
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2015. Habarika 24 Dev - All Rights Reserved
Customized by Bongotech