Home » , » MSIKITI WA MTAMBANI WA TEKETEA KWA MOTO. KINODONI JIJINI DSM.

MSIKITI WA MTAMBANI WA TEKETEA KWA MOTO. KINODONI JIJINI DSM.

Written By mahamoud on Wednesday, 13 August 2014 | 15:40


Moto mkubwa umezuka katika msikiti wa Mtambani (uliopo Kinondoni, Dar) na kuteketeza sehemu ya juu ya msikiti huo ambayo hutumiwa kama hosteli ya wanafunzi wa Seminari ya Kiislamu ya Mvumoni iliyokuwa kwenye jengo la msikiti huo.





















Share this article :

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2015. Habarika 24 Dev - All Rights Reserved
Customized by Bongotech