Home » , » SWALA YA IDDI L FITRI KITAFA YASWALIWA MMNAZI MMOJA JIJINI DSM.

SWALA YA IDDI L FITRI KITAFA YASWALIWA MMNAZI MMOJA JIJINI DSM.

Written By mahamoud on Tuesday, 29 July 2014 | 06:46


Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam,Sheikh Mussa Salum akitoa Khotuba katika Idada ya Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal akitoa salamu za Eid el Fitr leo mara baada ya Swala iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam.

 Waziri wa Ulinzi,Dkt. Hussein Mwinyi (katikati) akijumuika pamoja na Waumini wenzake wa Kiislam katika Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.


Umati wa Waumini wa Kiislam ukiwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo,tayari kwa kushiriki ibada ya Eid El Fitr.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal akipeana mkono wa Eid na baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislam mara baada ya Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.

Share this article :

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2015. Habarika 24 Dev - All Rights Reserved
Customized by Bongotech